Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
Nywele ni moja ya sababu zimefanya nifikirie ku propose. Napenda mtu mwenye natural hair.Oh kumbe!
Nilidhani unauliza hilo swali kwa sababu nanyoa nywele.
We propose tu mkuu,majibu yatategemea hali ya upepo ulivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu achana na upepo we mtakatifu.muda ndo huu au unasubiria ule umri wa kuomba mwanaume yeyote mwenye suruali?Oh kumbe!
Nilidhani unauliza hilo swali kwa sababu nanyoa nywele.
We propose tu mkuu,majibu yatategemea hali ya upepo ulivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa kusuka ,nimechelewa sana kula Leo.You are eating late. Kula saa moja ukichelewa sana angalau saa mbili.
π₯°π₯°π₯°π₯°π₯°π₯°π₯°Nywele ni moja ya sababu zimefanya nifikirie ku propose. Napenda mtu mwenye natural hair.
Jitahidi. Anza kujizoesha. Mimi kuna siku nakula dinner saa 12 jioni πWatu wengi sana tunachemka kwenye hili..π₯Ί
Nywele ni moja ya sababu zimefanya nifikirie ku propose. Napenda mtu mwenye natural hair.
Hivohivo na tako na hips lako.Hivi hivi nilivyo au nipungue kidogo
Jitahidi. Anza kujizoesha. Mimi kuna siku nakula dinner saa 12 jioni
Utazoea. Should i make you get used to it?Nilikuwa kusuka ,nimechelewa sana kula Leo.
Huwa nakula saa2.
Siwezi kula saa 1,njaa mbona itaniuwa nikilala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usinyoe hata. Wewe choma tu wigs zote ππNikanyoe sasa nipate mume
Kwahiyo siku nikitia dawa ama nikisuka ndio basi tena!Nywele ni moja ya sababu zimefanya nifikirie ku propose. Napenda mtu mwenye natural hair.
Umeanza kusukaNilikuwa kusuka ,nimechelewa sana kula Leo.
Huwa nakula saa2.
Siwezi kula saa 1,njaa mbona itaniuwa nikilala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kumbe bado mnasuka!hakyanani siku hiyo nimeenda saloon nikamkosa msusi,nikarudi tena hayupo.wooooohiii nikaenda kuzikatilia mbali na zilikuwa natural hair halafu ndefu π₯Ίπ₯ΊNilikuwa kusuka ,nimechelewa sana kula Leo.
Huwa nakula saa2.
Siwezi kula saa 1,njaa mbona itaniuwa nikilala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana nimeshazoea. Yani nikitoka zangu mazoezi jioni saa moja kasoro nakula kabisa then naoga ndio naangalia kama ni habari au match. Mda huu nalala zangu maana nawahi kuamka. Mimi naenda sana na ratiba. Sivurugi bila sababu.Heee hauhesabu chaga?
Chalii wataka nife njaa usiku??Utazoea. Should i make you get used to it?
Tuzione nyweleNilikuwa kusuka ,nimechelewa sana kula Leo.
Huwa nakula saa2.
Siwezi kula saa 1,njaa mbona itaniuwa nikilala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutia dawa au kusuka kwangu sio problem. Shida itakuja pale unaanza kuvaa wigs ππKwahiyo siku nikitia dawa ama nikisuka ndio basi tena!
Basi nimeshapoteza sifa maana njiani nilijazwa upepo,nikabadili maamuzi badala ya kunyoa nikasuka .
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππππππππSi wenyewe twachoka eti ila tunavumilia na hatuwashikii bango, ila nyie sasa π
Cha msingi iwe ni kiss and don't tell basii.
Wala haufi njaa. Ujue njaa ni deception sometimes? Kuna muda unaweza kuhisi unahisi njaa kumbe sio ila wewe hujui unaongeza tu caloriesChalii wataka nife njaa usiku??
Sema siku hizi nawahi mno kulala,sijisikii njaa.
Kuna kipindi nilikuwa nalala saa7,8...sasa nikila saa1,kufika saa6 njaa inauma sana.
Hebu naomba ujaribu kunifundisha kula saa1
Sent using Jamii Forums mobile app