Kuna mmoja sijakumbuka Id yake alitembea na ile G yako 😂 ananiuliza kama nimeshaachana na G Wangu 😂 huyu G jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani nilikuwa nakutafuta nikujuze,asee[emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]unajua kakomaa na depal[emoji41]Kuna mmoja sijakumbuka Id yake alitembea na ile G yako [emoji23] ananiuliza kama nimeshaachana na G Wangu [emoji23] huyu G jamani
Ila ile skriiiiii ya mwisho ule mwandiko naujuaaaa.
Nikaandika napost naona 'the requested thread couldn't b found.
Si nilitaka kufuta screenshot zile[emoji41] dadeqKuna mmoja sijakumbuka Id yake alitembea na ile G yako [emoji23] ananiuliza kama nimeshaachana na G Wangu [emoji23] huyu G jamani
Ila ile skriiiiii ya mwisho ule mwandiko naujuaaaa.
Nikaandika napost naona 'the requested thread couldn't b found.
😂😂 nimecheka kwa masikitiko.Unajua nimecheka[emoji16],yule jamaa mshenzi,
Mdada wa watu itakuwa hajauona ule uzi,na kama kauona sijui kajisikiaje
Natamani niwe choo chako uwe unanikalia tu.Mazoezi time.karibuni
View attachment 1993583
Nilimshangaa ujue[emoji41][emoji23][emoji23] nimecheka kwa masikitiko.
Dada atakuwa kaumia, sema yule bouya namjua.
Nilinyamaza kibingwa nisije geuziwa kibao [emoji23]
Jamii ikaniinjoy bila emoj [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi sio yule niliyemwambia naogopa kukupiga madongo si ajabu tushajuana na ID ingine?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]unajua kakomaa na depal[emoji41]
Ule mwandiko nilijua tu watu kama nyie akili kubwa lazima ujulikane[emoji2902][emoji2902]
Itakuwa bana mnajuana[emoji849]Hivi sio yule niliyemwambia naogopa kukupiga madongo si ajabu tushajuana na ID ingine?
Ila mod [emoji23] si wangesubiri kidogo?
Mwandiko uleee, heheh.
Shemeji wa kienyeji katika ubora wakoMazoezi time.karibuni
View attachment 1993583
wee acha tuu, toto hilo huwa linanitoa mate, siku akinipea, nitapiga kwa hasira zote, mpaka mtu apoteze fahamu.Natamani niwe choo chako uwe unanikalia tu.
Mnasemaga hivyo afu siku toto likitokea useme limevaa jeans bwagio na siyo zuri kama la kwenye picha😂wee acha tuu, toto hilo huwa linanitoa mate, siku akinipea, nitapiga kwa hasira zote, mpaka mtu apoteze fahamu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ndio maana naipendaga tu filter ya B&W ili siku ya siku mtoto wa mtu asipate sonono kubwa.Mnasemaga hivyo afu siku toto likitokea useme limevaa jeans bwagio na siyo zuri kama la kwenye picha😂
Me simjui 😂 labda kama yeye ananijua na id nyingine.Itakuwa bana mnajuana[emoji849]
Mod wamenikera sana[emoji16],moto ulikuwa unaenda kukolea pale[emoji23]
Itakuwa alivaa boyfriend jeans. 😂Nilimshangaa ujue[emoji41]
Eti kavaa sutuali ya jeans lipana,asee yule jamaa kazingua
Depal umeachana na G!!!!Alisemaje [emoji23] [emoji23]
Nikamzibue huko pm kwake
Itakuwa[emoji16],ule Uzi wangeuacha upumue kidogo[emoji41]Itakuwa alivaa boyfriend jeans. [emoji23]