Selfika na JF: Snap it. Show it

Noma sana Mkuu. Tumeshinda mle kwenye mtaro wa TBL tukipiga Hisabati kwa Hidden
na Geog kwa jamaa mwingine hapo Chini.
Wakongwe tupongezane watu tulikua tunasoma mitopic ya mbele ili ukifika shule uwe mwamba,mwenge mimi kwa wale vijana wa mzumbe chemistry na physics ya A level dah nilisoma nikaielewa kinoma
 
Aah wapi, physics ingeniua mbona.

Bora integration aisee, siku ya kwanza tu kufundishwa Coord 2 niliamua tu nafsini mwangu, kwamba sitaki kuielewa hii topic hata ije iwe rahisi vipi. Nikaachana nayo mazima
Hahahahah una intergrate ukiingiza data kwenye calculator inazika kwanza ndiyo ukuletee majibu hahahaha kumbe ulichukuaga sayansi utakua upo nondo sana mdada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…