Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,483
Who dat??🙃O.M.G
Who dat??🙃O.M.G
Pale pale pa siku zote...sema leo ni morning shift [emoji846]View attachment 1969877
NDINDA PGO imezingatiwa.....
Umeacha ile ratiba yako ya kula kuduchu??
Who dat??[emoji854]
Atakayemuiba tutapambana.Mtakatifu babe wako kapendeza mpaka natamani nimuibe lol
😆😆😆😆Duh, halafu we ndio maana kila nikiomba namba unanipa namba ya polisi. [emoji1787].
Dude....a little challenge can add up to the fun 😎I Have a thing with Gauni lenye vifungo hivyo, Conveniency and Accessibility [emoji41].
😅😅😅😅 jamani usiniseme.Umeacha ile ratiba yako ya kula kuduchu??
Naona umeongezeka kwa kiasi.
Bia for breakfast au sio kijana wa hovyo 🙂Nimeumia sana mwanangu kupigwa nahilo jamaa lenye hips za kiunonii...
Acha nikanywe bia mbili tatu kujipozaaView attachment 1969882
😂😂😂ah ngoja nami nimvute kwa maombi bana. Sharing is caring ujueAtakayemuiba tutapambana.
Namtunza kwa maombi na mtutu[emoji38].
Ndio ninaye huyohuyo jamani,tafadharini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umekuwa chibonge mno [emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jamani usiniseme.
Sijaacha wala sijaongezeka sema pia sipungui maana nimekuwa mvivu sitembei...sifanyi mazoezi basi tabu tupu [emoji3061][emoji3061]
Anne ana wivu mno na babe wake [emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23]ah ngoja nami nimvute kwa maombi bana. Sharing is caring ujue
Dude....a little challenge can add up to the fun [emoji41]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sa we hutaki namba ya ofisi???
Hiyo ni uhakika maana haizimwi wala haiwekwi Silent Mode [emoji6]
Kwa ulivotia huruma ngoja nikuachie mwayaAnne ana wivu mno na babe wake [emoji13][emoji13][emoji13]
Yaani macho yangu yote ndio yapo hapo jamani,msije niuwa kwa presha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2362]
Kichwa kigumu sana hiki[emoji28][emoji38]
Na unadrive vizuri tu[emoji23][emoji119]
Haki ya nani, itakuwa kichwa chako hakidaki hizo alcohol wanazodai zipo kwenye pombe.
Hahahaha yes mamiiii.....natoa lokii tu ndio nianze kunywa sasaBia for breakfast au sio kijana wa hovyo [emoji846]