Selfika na JF: Snap it. Show it

View attachment 1965860

and 100 others salam nimeshindwa kufikisha πŸ™„
Mie nakulaumu wewe... we mwambie uncle anamsalimia πŸ˜€πŸ˜€,
Halafu hilo swali alilopata mwambie xmas zawadi inamuhusu

Mention five sensory organs
1.Skin βœ”οΈ
2.eyes βœ”οΈ
3.tongue βœ”οΈ
4.ears βœ”οΈ
5.nose βœ”οΈ
πŸ’―

πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Unanilaumu bure kabisa dear uncle πŸ˜”πŸ˜” maana the ball is on your court ila tu unajisikia kunichosha 😐

😁😁😁😁 Zawadi gani tuanze kufurahia kabisa in advance πŸ™‚ Hopefully mwalimu nae anapata zawadi sio dada H tuπŸ˜‰
 
Hio lazima, yaani teacher lazima apate precious gift... πŸ™‚
and the gift iiiiiiissss...


Halafu dada H sasa ......
the gift iiiissssss


Yaani usiponikaribisha xmas, basi umepishana na hizo gift πŸ™‚
 
Eti eeh?

Ni bora nidondoshe simu kuliko kudondosha notee1 tu ya dala 100

Woga wako ndio unakuharibia, kijana unatakiwa kufanya mambo ambayo siku ukiwa zako mzee ukikumbuka usipate jibu kwa nini ulifanya hivyo. Chances never come twice, we poteza note hata tano, vumilia msala utakaoupata siku mbili tatu ukidaiwa
, huku ukisisitiza hujui zilipo na hauna kitu, then akichoka kudai unaanza kuzila
.

Usiseme sijakupa ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…