Woga wako ndio unakuharibia, kijana unatakiwa kufanya mambo ambayo siku ukiwa zako mzee ukikumbuka usipate jibu kwa nini ulifanya hivyo. Chances never come twice, we poteza note hata tano, vumilia msala utakaoupata siku mbili tatu ukidaiwa
, huku ukisisitiza hujui zilipo na hauna kitu, then akichoka kudai unaanza kuzila