Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimeona google zucchini ni kichanga cha boga mtoto linalostawi wakati wa joto. � SHIMBA YA BUYENZE
Zucchini (hilo la kijani) na squash (hayo ya njano) nayapenda sana kuyakaanga kwa mafuta kidogo tu ya mzeituni pamoja na biringanya. Ni veggies safi kabisa unakula unashiba


Kwa Kiswahili yanaitwa Zukini au ukitaka kile Kiswahili chenyewe kabisa orijino kutoka Unguja nadhani yanaitwa mang'unye. Na pamoja na matango, ni jamii moja ya maboga.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…