Selfika na JF: Snap it. Show it

Chipsi tangu mbeya nakula sana na huwa napika mara nyingi nikijisikia kula.

Asubuhi ndicho chakula pekee kilichokuwepo nyumbani nilichoona ni cha haraka kupika.
kwa kweli hapan chips zimenipita kushoto, kna siku nlijaribu kula tena nlinunuliwa nionje tyuuh aaaah, nlitapika na kichefu chefu mda wote. Sitaki hata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…