Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Kuna siku kufumba na kufumbua mtu unajikuta umeanikwa jf

Kuna siku kufumba na kufumbua mtu unajikuta umeanikwa jf

Lazima uwe mstaarabu kidogo kuomba, otherwise anaweza kukuaibisha mbele ya Kadamnasi 😀Hivi huwa mnapataga wapi ujasiri wa kuomba namba kwa mdada uliekutana nae kwa daladalasiku mlambwe vibao sijui mtarudishia
Ooh utaniletea lini?Maisha yafaa nini bila pombe??
Nina dawa Yako ya kuacha pombe.
Ukipata muda njoo uchukueOoh utaniletea lini?
WeeeeehNilisave zile pic za nyonyo atulie nitapost bdae

Dude
Daladala ya wapi hiyo maana kama nimemfananisha with a certain left handed lady.

Hivi huwa mnapataga wapi ujasiri wa kuomba namba kwa mdada uliekutana nae kwa daladalasiku mlambwe vibao sijui mtarudishia




Kuna siku kufumba na kufumbua mtu unajikuta umeanikwa jf![]()




Labda uwe na grands kichwani ndiyo waweza kujitoa ufahamu,Lazima uwe mstaarabu kidogo kuomba, otherwise anaweza kukuaibisha mbele ya Kadamnasi![]()
Mkuu nataka nijaribu labda nitakula Kimasikhara![]()
Tungekua na ka apk ka ku scan namba ya simu kwa simu ingine bila kujua ahhh ungemtumia picha tu baadae asiehh nilikuona mahali fulani na kapicha unatuma![]()
![]()
Tungekua na ka apk ka ku scan namba ya simu kwa simu ingine bila kujua ahhh ungemtumia picha tu baadae asiehh nilikuona mahali fulani na kapicha unatuma









Naomba nikujoin hapo kwenye Ugali, manake naona ugali ziko mbili hapo 😋😋.
Karibu,ugali mtu sitaNaomba nikujoin hapo kwenye Ugali, manake naona ugali ziko mbili hapo.
Kesho naomba nije nikusalimie hapo Songea Mjini.

