Selfika na JF: Snap it. Show it

Chezea mshahara tu kamanda usichezee kazi, ila Wewe naona unachezea vyote...
Mkuu yafaa maisha bila bia? Kwa kweli kazi itasubiri bia kwanza hata bosi wangu anajua kuwa bia ndio mke wangu πŸ˜€πŸ˜€
 

Utuangazie pande zote za Nchi, upeleke Amani palipo na Vita, Upendo palipo na Chuki .......

Sisi Wazee tuna mengi ya kuwasimulia Kizazi hiki ni vile tu Macho hayaoni ningewaandikia kitabu niwaachie. Tafadhali mtutumie vizuri πŸ˜œπŸ™ŠπŸƒπŸ»πŸƒπŸ»πŸƒπŸ»
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…