Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

hio kampuni ya inahusika na mazishi right?
wanapoandika hilo bango ni
1-wanataka wateja
2-kuwapa ujumbe kwamba wasipochanjwa watazikwa

au nipo wrong mkuu
Uko sahihi,ukisoma haraka haraka bila tafakuri utajua wana hamasisha usichanje ila ni kinyume kuwa usipochanja wao utawapa kazi ya kukuzika(utakufa)..
Hivyo chanjeni msife..
Nilisikia Zanzibar mpaka sasa ni watu 11,000 tu ndiyo wamechanja kati ya dozi 100,000 zilizopo.
 
Uko sahihi,ukisoma haraka haraka bila tafakuri utajua wana hamasisha usichanje ila ni kinyume kuwa usipochanja wao utawapa kazi ya kukuzika(utakufa)..
Hivyo chanjeni msife..
Nilisikia Zanzibar mpaka sasa ni watu 11,000 tu ndiyo wamechanja kati ya dozi 100,000 zilizopo.
mkuu watu hawana muda na chanjo
lakini soon tunaweza anza kulazimishwa, kwa sababu nimesikia wataalamu wa afya wakisema serikali inabidi ifanye hili suala kwa ulazima
kwa sababu wataalamu wa afya wanadai kwamba kuna wenzao walifariki kwa COVID

kuna ndugu yangu yupo hapo Kansas alinambia eti US serikali iligawa hela kipindi cha majanga, asee huko kuzuri
 
Tuacheni kufanya kazi na tunywe bia tu, unafnya kazi na kuacha bia, hivi una akili wewe?
Screenshot_20210920-183530.jpg
 
Back
Top Bottom