ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,670
- 90,153
Sio kila unalowaza lazima uliseme/uandike. Mzee wa chura next time kumbuka hilo...Ni kule kwenye jukwaa la siasa.Nilitumia haki yangu ya kutoa maoni nikasema kuwa kuna kiongozi fulani wa nchi hakuna cha maana anachofanya,yuko tu busy kuzurura hovyo kama yale Mapaka yasiyofugwa.Nikaishia kuzibwa mdomo kwa siku saba!