Selfika na JF: Snap it. Show it


Enjoy what you have (what you get)

Don’t be disappointed by what you can’t get

Usijali anytime ukiwa na time nichek tunaweza kuarrange kitu

Ila ilikuwa
nilienjoy kwa kweli

JF idumu.
 
Enjoy what you have (what you get)

Don’t be disappointed by what you can’t get

Usijali anytime ukiwa na time nichek tunaweza kuarrange kitu

Ila ilikuwa
nilienjoy kwa kweli

JF idumu.
Nyie watu ni wacheshi mno

Wewe nilikuzoea ndani ya dakika chache tu



Mungu akijaalia,ratiba zikikaa vizuri tunairudia
 
Hmmmm


Sasa mbona kama ni hatari plus..plus??? Maana mkiwa wakorofi wote kesi zenu hazitokaa ziishe. Hamna wa kujishusha wala kukubali kushìndwa
Hapana..mimi hawa dada zangu nawajua...sehemu ya kujishusha ili tu mambo yaende nitafanya hivyo..

We nipe tu huyo dada na utakuja kushuhudia our 50yrs anniversary ya ndoa yetu if God keep us alive.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…