Selfika na JF: Snap it. Show it

Nakuelewa vizuri kabisa mtumishi mwenzangu.

Lakini usiwaze tena hivyo (najua sio rahisi)

Bado kuna mengi unatakiwa kuya accomplish hapa duniani. Mungu alikuleta kwa kusudi.

Huu ndo wakati muafaka kabisa kumuomba akuwezeshe kufikia makusudi yake kwako.

___________________________

Kama nilivyokufahamisha, Mungu hataruhu uenda kabla sijakuona mtumishi mwenzangu.

Likewise, hutatwaliwa kabla hujaniona.

Katika hili nina uhakika sana, Mungu ni mwaminifu sana kwenye ahadi zake.

Stay strong, healthy and prosperous mama mtumishi
 
Hakika

Kweli Kuna mambo bado sijamfanyia Mungu...ni lazima niyafanye hayo Kwanza kabla sijaondoka.

Ngoja nijaribu kujikaza..
Sema na ulast born unachangia
,aliyebaki analialia ni mimi tu.

.
.
.
Baba Mtumishi umeamua kunipoza kwa maneno ili usinipe picha..
Sasa utaweka lini jamani!
Neema ya kuona ipo leo ujue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…