Selfika na JF: Snap it. Show it

(ndoto yake ni kuona tunajenga jamii ambayo tunasukumana kwenye mstari wa ushindi...”. )

Aiseeee maneno mazito Sana haya

I wish binadam wote tungekua na roho
Kama ya huyu jamaa
Hii kitu kwetu Africa imekuwa changamoto sana,ujitoa sana kwenye jamii unaonekana unakiherehere,ukiwa bandidu una roho mbaya. Yaani kunawakati hatueleweki tunataka nini.

Lakini kwenye jamii bado kuna watu wema na waaminifu na wenye kuona mafanikio ni kijiti cha kupokezena. Tuendelee kuombeana tuone huo umuhimu wa kutembea pamoja kwenye mafanikio.
 
Mungu atujaaliye tupate watoto wema kama Ivan, watakaokuwa tayari kushinda kwa mbinu halali za ushindi, watakaokuwa tayari kusimama kwenye kanuni za maadili, heshima na uaminifu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika muhimu n tuzid kuombeana
Tu na walau binadam wa Africa Sisi
Tunaweza kubadilika siku moja
Na tukawa Kama Ivan
 
Mbunge Viti Maalum, Josephine Genzabuke: Naomba niishukuru serikali ya CCM inayoongozwa na Jemedari, Mheshimiwa Rais, mama yetu Samia Suluhu kwa kufanikisha mkopo wenye Masharti nafuu kutoka benki ya maendeleo ya Afrika tukaweza kuahidiwa pesa dola za Kimarekani 140 sawa na shilingi laki tatu elfu ishirini na nne point nne Bilioni.

Na meza zikagongwa kushangilia, hivi anazijua pesa alizotaja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…