Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Mavazi si shida sana ninaweza fanikiwa kwenye mavazi ila nikakwama sehemu nyingine hasa mahudhurio ya inada za huko ambalo ndilo jambo muhimu kuliko yote.
Naona tu bado sijasettle kuweza kurudi.
Ratiba zangu kwa Sasa naona zitanibana,nitashindwa kwenda na kasi ya huko maana kila siku lazima kwenda faraghani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wale faraghani ile mikato yao mimi hoii!marinda kabisaaMavazi si shida sana ninaweza fanikiwa kwenye mavazi dk 0 tu nikashona marinda kama yote,kunyoa nywele buku tu,hata Sasa nimenyoa, ila nikakwama sehemu nyingine hasa mahudhurio ya ibada za huko ambalo ndilo jambo muhimu kuliko yote.
Naona tu bado sijasettle kuweza kurudi.
Ratiba zangu kwa Sasa naona zitanibana,nitashindwa kwenda na kasi ya huko maana kila siku lazima kwenda faraghani.
Pia hapa nilipo naona nina amani na Mungu namuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mavazi si shida sana ninaweza fanikiwa kwenye mavazi dk 0 tu nikashona marinda kama yote,kunyoa nywele buku tu,hata Sasa nimenyoa, ila nikakwama sehemu nyingine hasa mahudhurio ya ibada za huko ambalo ndilo jambo muhimu kuliko yote.
Naona tu bado sijasettle kuweza kurudi.
Ratiba zangu kwa Sasa naona zitanibana,nitashindwa kwenda na kasi ya huko maana kila siku lazima kwenda faraghani.
Pia hapa nilipo naona nina amani na Mungu namuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila wale faraghani ile mikato yao mimi hoii!marinda kabisaa
Kunyoa ni lazimaHivi kumbe na kunyoa ni lazima eeh? Ndiyo nimemkumbuka rafiki yangu fulani hivi, kila nilipokuwa nakutana naye alikuwa amevaa marinda na sijawahi kumuona na nywele.
Yes, cha msingi popote ulipo, uwe na amani nafsini mwako, na Mungu umuone/umsikie: ndicho haswa tunachokitafuta.
Ndio pigo zetu zile
Namna hii,unikute nimepitisha pasi kwenye rinda langu kaliii hadi linaweza kukata myView attachment 1789508
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana.Ila ukiwakuta wengi wanapendeza wenyewe na wanavaa kwa adabu sana
Ila wale faraghani ile mikato yao mimi hoii!marinda kabisaa
Hivi ni kweli upo Faraghani?Ndio pigo zetu zile
Namna hii,unikute nimepitisha pasi kwenye rinda langu kaliii hadi linaweza kukata mtuView attachment 1789508
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe uliza tu mimi nitakujibuHahaaa imebidi niisave fasta.
Hizo skirt na sisi tunavaa siku hizi zz kisasa lakini. Hapo kwenye mashati ni lazima yawe hivyo, naona wengi naokutana nao wanakuwa ni kama wanashona suti sijui ( full), huwezi kuvalia blauzi nyingine? (Usinichoke na maswali yangu mweeh)
Aaamen...!!!Mtu mwingine wa nje hawezi kukuelewa unamaanisha ila alishaingia ndo anaelewa Sasa na kuona yaliyomo.
Onjeni muone Bwana Yu mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ilikuwa miaka ya nyuma.
Nawaonaga nadhani hata Bra sijui ni hawaruhusiwi au vipi..
Kunyoa ni lazima
Kuvaa marinda ni lazima
Ni marufuku kuongeza vikorombwezo mf hereni sijui mikufu..ukijitahidi sana harusini watakubandika lile bango la kimalkia kichwani,huku umechana kipilipili chko kichwani saafi.
Kuna jingine hili ambalo ndio gumu zaidi kwa kwelila kuchaguliwa mchumba,kule ukidate tu unakuwa umejiengua..lazima ufwate utaratibu wa kule..japo now kidogo naona wamelegeza,
Mimi huwa naenda kusali Mara mojamoja japo sijatubu bado,yaani ile kuingia rasmi mazima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ilikuwa miaka ya nyuma.
Ilikuwa unatakiwa kuvaa shimizi
Siku hizi wamelegeza,Kuna wanaovaa bra,,wengine wenye msimamo mkali bado wamekomaa na shimizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni kweli upo Faraghani?
Hiyo ilikuwa miaka ya nyuma.
Ilikuwa unatakiwa kuvaa shimizi
Siku hizi wamelegeza,Kuna wanaovaa bra,,wengine wenye msimamo mkali bado wamekomaa na shimizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wale wa zamani age za akina mama huwaambii chochote.Doh!
Tena wale watu wazima naona hao msimamo bado mkali.. No Bra.
Nawaonaga nadhani hata Bra sijui ni hawaruhusiwi au vipi..
Hiyo ilikuwa miaka ya nyuma.
Ilikuwa unatakiwa kuvaa shimizi
Siku hizi wamelegeza,Kuna wanaovaa bra,,wengine wenye msimamo mkali bado wamekomaa na shimizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mdogo wangu..
Nimezaliwa faraghani Mimi ila bado sijatubu,yaani ile kuingia mazima..
Na kwa umri niliofika inabidi niingie mazima,hakuna kuingia tena kwa mgongo wa mzazi.
Hata hili jina la Anne lilitoka faraghani,sema baada ya maombi makali wakachagua lile ninalotumia official.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kutubu ni Kama kuingia rasmi..Hiyo kutubu ni kama kurudi kundini kwa sababu ulitoroka dhehebu eeh?
Hiyo ya kuchaguliwa mchumba ndiyo shughuli sasa, so kijana anamfuata kiongozi kwamba nimempenda fulani mnifikishie ujumbe; au viongozi wanakaa tu wanaona Saint Anne na John watafaana, mnaitwa mnaunganishwa au?