Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe kasema usharika wa Yerusalem morovian.. Sio yerusalem Uwata... Anyways ulikuwa unaenda faraghani zamani??
Nimemuelewa vizuri alichomaanisha..ila nimeona niongezee tu kuwa miaka ya nyuma hiyo mitaa tulikuja sana faragha ya Yerusalemu..siyo usharika wa Yerusalemu
.

Mimi nimezaliwa Uwata Chief,ni mwanauwata niliyekengeuka tu kidogo
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂owaaa me mwenyewe mezaliwa humo ndani.. Tena hope tunafahamian vizuri kabisa sema hizi Id za Jf tuu..

Sema tulud mjengoni vile hujapamic wewe
 
owaaa me mwenyewe mezaliwa humo ndani.. Tena hope tunafahamian vizuri kabisa sema hizi Id za Jf tuu..

Sema tulud mjengoni vile hujapamic wewe
Hahah!
Ila mm kipindi wanaacha nilikuwa bado mdogo ,hata akili haikuwepo bado.

Nawaza niingie ila Uwata
kwamoto hatari
wanakaza mno aisee,siyo michezo.
Kipindi nasoma sekondari ilibaki kidogo niingie aisee,nimesoma shule yao.

Pia ratiba zangu kwa Sasa si rafiki sana kunipa muda kila siku wa kuhudhuria faraghani.


Ila enzi hizo na vile vingoma tumechemka sana mule ndani
vibe lake acha kabisa

Wengine hadi majina yetu tulipewa faraghani.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂vibe lile ni hatare acha tuu

Itoshe kusema nalud mwaka huu
 
vibe lile ni hatare acha tuu

Itoshe kusema nalud mwaka huu
Hongera,Mungu akusaidie na iwe hivyo

Sema kwa wanaume hawakazi sana kama upande wetu wadada

Mavazi kidogo ni changamoto
.

Kuna mambo yananoga hii dunia,..mimi nimejifunzia kupiga ngoma huko uwata.


Yote ni kwa utukufu wa Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
R
 

Kuna yule aliyenipenda si kwa ajili ya mali
Alinipenda wala hakujali udhaifu wangu
Akanionyesha upendo ambao sijauona kwa wengine
Huyu halali wala hasinzii
Hata leo hajawahi kunichoka eeeeh


Sikumtafuta ni yeye aliyekuja kwangu
Ninawacha dhambi makosa yangu
Yesu alinipenda wa kwanza
Niakwamini yeye kanisamehe dhambi
Upendo wake Yesu wanishangaza.


. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . .

Yesu huyu Yesu rafiki mwema

Yesu huyu Yesu ninampenda


Yesu Kristo Bwana wangu ni rafiki mwema


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi faraghani ndiyo wale wanaovaaga sketi za marinda eeh?
 
Lime-inu limeinu-liwa neno lako ooh
Kama vile jana lina nguvu leo na milele
Oh Kama vile jana lina nguvu leo na milele .

Linazidi nguvu kuta za Yeriko
Linaamuru maji kutoka mawe jangwani
Hili neno lako limeinuliwa
Limebeba neema ya waliosaulika
Linajibu maombi iliyopita kutarajiwa
Neno lako umesema


Haleluya amen oh
Kama vile jana lina nguvu leo na milele
Limeinuliwa limeinuliwa neno lako
Kama vile jana lina nguvu leo na milele
Limeinuliwa limeinuliwa neno lako
Kama vile jana lina nguvu leo na milele
 
Hillary the worshipper


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona hapo juu umeandika kuwa wanabana sana mavazi, nikahisi labda ndiyo maana unapata ugumu wa kurudi huko
Mavazi si shida sana ninaweza fanikiwa kwenye mavazi dk 0 tu nikashona marinda kama yote
,kunyoa nywele buku tu,hata Sasa nimenyoa, ila nikakwama sehemu nyingine hasa mahudhurio ya ibada za huko ambalo ndilo jambo muhimu kuliko yote.

Naona tu bado sijasettle kuweza kurudi.
Ratiba zangu kwa Sasa naona zitanibana,nitashindwa kwenda na kasi ya huko maana kila siku lazima kwenda faraghani.
Pia hapa nilipo naona nina amani na Mungu namuona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…