Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimekusubiri pale idd amin nduli airport nilikufungia tumishkak twa mbwa kwenye four-wheel lakini hukutokea

Nilisahau kama hawana vituo kama vya tukuyu na makandana.

Ile mishkaki ya miamia kule haipo aisee,,Ni mateso.
Sema mimi niliona dalili tangu mwanzo,,ile view ya Jana imekaa kifwedha,na kila niliyekuwa namuona alikuwa amekaa kifwedha kasoro mimi tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na Mimi nikashangaa leo hela umeokota wapi unazagaa zagaa maeneo hatarishi Kama yale
 
Na Mimi nikashangaa leo hela umeokota wapi unazagaa zagaa maeneo hatarishi Kama yale
Yaani rafiki yangu acha tu

Hata mimi nilijua utashangaa
,,Kwanza hata mimi nashangaa
.

Nikaona huku siko kabisa,hakuna amsha amsha kabisa aiseee

Eti Wana Restaurant tu!mimi huyu wa mishkaki ya miambilimbili ni wa kuingia Restaurant ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwakweli nilipatwa na mshtuko nikasadiki kua kweli mungu sio sanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…