B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,413
Basi kwenye hayo maombi naomba uniweke na mimi nataka nipate ela nyingi.A wapi [emoji23]
Nina mambo mengi ya kuomba kwa Sasa ...hili la mtu kunisaliti ni kumchosha Mungu.
Mambo unayoyaweza deal nayo tu!
Usimwachie Mungu [emoji23]
Waliofanya haya mambo nakosa hata tusi la kuwapa leo[emoji57]Pole mnoo
Huko mbeya hakuna mali zilizoachwa na mjerumani tuzitafute tupate ela?
Bora umenisaidia nilishindwa kufafanua vyema.Ucrush huu wangu hauna madhara kwa sababu mimi sijamtaka S TO I C..alinicrushia mwenyewe.
Sasa yeye Jack kakucrushia wewe...Bora wewe ungekuwa umecrushia yeye.
Me naona ni muda wa kutumia calls, offline text na radio.Waliofanya haya mambo nakosa hata tusi la kuwapa leo[emoji57]
Wanataka tupate presha hadi kwenye bando[emoji34]
Huu ni ujinga sana
Watafuta fursa watajichosa bure[emoji23][emoji23][emoji23]Opportunistic wako makini muda huu.
😒😒.Watafuta fursa watajichosa bure[emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nikitoka kwenye mahusiano naendelea na maisha yangu mengine..
At least mwaka uishe akili inakuwa imesettle.
Wasitulazimishe[emoji34]Me naona ni muda wa kutumia calls, offline text na radio.
Jaman kwani si mitandao ndo imepandisha au unahisi akina nani?Wasitulazimishe[emoji34]
Wengine hatupigi simu,hatutumii text za kawaida.
Hivi kwanza ni nani mefanya haya?
Lead the way, lady's first.. thats the rule [emoji4][emoji4][emoji4]Yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees
Sawa hela utazipata.Basi kwenye hayo maombi naomba uniweke na mimi nataka nipate ela nyingi.
Ghafla tu wakubaliane kupandisha??Jaman kwani si mitandao ndo imepandisha au unahisi akina nani?
Nataka nizipate, yesu moyoni pesa mfukoni.Sawa hela utazipata.
Lakini utafute kwanza Ufalme Wake na Enzi yake,na hayo mengine...
Si ilikua announced since lini uko ata sikumbuki vizuri kwamba kwanzia 02 April kutakuwa kuna mabadiliko ya vifurushi,Ghafla tu wakubaliane kupandisha??
Ukishampata Yeye kwanza hayo yote utazidishiwaNataka nizipate, yesu moyoni pesa mfukoni.
Ujinga huu wallah.Si ilikua announced since lini uko ata sikumbuki vizuri kwamba kwanzia 02 April kutakuwa kuna mabadiliko ya vifurushi,
Na badiliko likifanyika linatakiwa kukaa miezi mitatu kabla ya kufanyika badiliko lingine.
Wanaorogaga huwa wanaanza hivi hivi, be carefull [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]No!
Nimehamisha app ya jf kwenye simu nyingine maana huko kulikuwa na bando...
Namalizia tu kulog in wananiambia bando limeisha[emoji134]
Hivi ni wajinga gani wamefanya haya mambo?
Huu ni ukatili jamani[emoji34]
Ningekuwa mchawi leo ningeroga watu wallah
Kuna good news kwa ajili yako, serikali yasitisha vifurushi vipya vya data uzi umepandishwa huko.Ujinga huu wallah.
Kwahiyo furaha yao ni kutuona sie twakosa raha??
Yaani watukoseshe raha hadi mtandaoni!!
Hilo Jimbo angeshinda tu Makonda
Kumbe ni kwa namna hii nitaweka utii.Ukishampata Yeye kwanza hayo yote utazidishiwa
Fuata kanuni za utoaji,,mjaribu kwa njia hiyo..uone kama hajakufungulia milango ya baraka.
Weka kwa wingi Neno lake moyoni mwako..
Ukishaliweka ndipo utakapoweza utakalo lote naye Atakupa sawasawa na Yohana 15:7
Fanya kazi, Mungu hashushi pesa tu Kama mvua..lazima ufanye kasi