B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,358
- 4,406
Hiiiiiiiii Bhaghosha.Uzi tayari View attachment 1730404
Hiiiiiiiii Bhaghosha.Uzi tayari View attachment 1730404
Usisahau ile mishkaki mwanangu![]()
Kaka umeacha mpaka mtoto wamemchukua lawama zote ni kwakobrother nimelinda sana mwisho nguvu ikawa ndogo....
nafurahi umerud tupambane Annie arud kwetu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kwema kabisa!Hahaha....hapana humjui mkuu
Vipi kwema lakini mpendwa
Makandana ilikua Kaka now niko Kilimanjaro nyiingi
Ebu tuambie umehisi wapi?Mishkaki ipi hiyo? Kuna sehemu nimeihisi
hahahahhaah drink drinkMakandana ilikua Kaka now niko Kilimanjaro nyiingi
My fav beerMakandana ilikua Kaka now niko Kilimanjaro nyiingi

Kaka tumeliwa asbh kabla ibada ya kwanza haijaisha
sasa sista bill is back...naomba uwaache hao akina jack na crush urud zizini sasa....Makandana![]()
Kwema kabisa!
Asante sana mkuu!...pole na wewe!Vizuri sana kama ni kwema kabisa
Pole na msiba mkuu
Ahaaa unaharibu sasa...sasa sista bill is back...naomba uwaache hao akina jack na crush urud zizini sasa....
sema sawa
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
sasa sista bill is back...naomba uwaache hao akina jack na crush urud zizini sasa....
sema sawa
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app



Kaka tumeliwa mapema Sanasasa sista bill is back...naomba uwaache hao akina jack na crush urud zizini sasa....
sema sawa
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Akhsante sana mkuuAsante sana mkuu!...pole na wewe!
Nampenda sana Saint Anne wanaomvia/mtamani muacheni kabisaaaa huyu mtoto kazaliwa kwaajili yangu tu.



