Selfika na JF: Snap it. Show it

hivi mimi sio mkwepu kweli??


kwamba nina Id mbili

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sa itakuwaje
 
Anamiliki simu ambazo sio za kizalendo😅
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa crush,
Kwahiyo watamani usikie sauti yangu ya kibabe??

Na Mimi natamani niisikie hiyo yako ya kipole [emoji2960] natamani niisikie hata sasahivi
Natamani kuiskia na ulivyo na element za ucheshi i guess itakua furaha tupu🤣🤣,
Hii ya kwangu ipo ki heal talk sana, napenda kuliwaza kuiukweli simply am refresher 🤭
 
Naona unashika pembe.
 
Natamani kuiskia na ulivyo na element za ucheshi i guess itakua furaha tupu[emoji1787][emoji1787],
Hii ya kwangu ipo ki heal talk sana, napenda kuliwaza kuiukweli simply am refresher [emoji2960]
Usije fanya nikatamani kukupigia muda huu crush[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]

Dah ukisikia sauti yangu utakuwa disappointed [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siwezi kuongea aisee..wwe utaongea maneno kumi,muda huo mimi nimeongea moja!
Speed ya konokono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…