Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Haya bhana..ila jueni hatukuomba tuwe flatscreen😅😅Mimi sijawahi wanyanyasa kweli
Haya bhana..ila jueni hatukuomba tuwe flatscreen😅😅Mimi sijawahi wanyanyasa kweli
Bitter lemon haina sukari na kama imo basi ni kidogo sana.kwa kweli Mungu ni mwema
hizo soda haogopi kisukari??
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
.kwa haya maelezo lazima mtu aacheBitter lemon haina sukari na kama imo basi ni kidogo sana.
Hii soda ni nzuri kwa watu wanaotaka kupunguza uzito na vitambi.
Hata hivyo nadhani kisukari hakisababishwi na sukari ila kama mtu anacho tayari haruhusiwi kula sukari.
am going to quit tooo.....kalumbu naacha pombe nitakua nakunywa lemonBitter lemon haina sukari na kama imo basi ni kidogo sana.
Hii soda ni nzuri kwa watu wanaotaka kupunguza uzito na vitambi.
Hata hivyo nadhani kisukari hakisababishwi na sukari ila kama mtu anacho tayari haruhusiwi kula sukari.
😨😨😨Yaaan ma pombe kibao mezani, mmmmh hata woga hakuna lol.
Hiyo ardhi mbona ni kama ya kwenye Animations
Wotee watakua flat screen lkn siyo weweHaya bhana..ila jueni hatukuomba tuwe flatscreen😅😅
Nini shida mbona chozi tena jmn
HaifungukiNdani KitaaView attachment 1706463




kukatwa govi kuwe na mashindano, ma ngariba fursa kwao sasa.Imeisha hiyooooooohKundi A bado gumuView attachment 1718975
Kwani si ndio maana ya selfika na JF. Snap it, show it.lengo lako nitume picha heheheee![]()
Sio kwa kuchokozana hvo sasa angesema tu anataka kusafisha macho basiKwani si ndio maana ya selfika na JF. Snap it, show it.
