Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,545
- 235,319
HahahahaSure, lakini watu wengine hawakioni
Simama tumsifu Bwana MunguBe mine[emoji18][emoji178]
Milele na Milele tushikilie hapohapoSimama tumsifu Bwana Mungu
Wengine hatuna babesπ.14 February [emoji4]
Jamani kukicha mpost mapicha[emoji91]tuwaone mnavyotokelezea na babes zenu[emoji2960]
Hahah!Milele na Milele tushikilie hapohapo
Karibu ibadani tumsifu Bwana kesho[emoji23]Wengine hatuna babes[emoji58].
Nitasali uku uku labda tukutane rohoniπ,Karibu ibadani tumsifu Bwana kesho[emoji23]
ππHahah!
Nitachambua mwaya Pweza hapana asee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huyo mdudu anatisha
We unakula pweza?
Sijawahi
Niliona video yake akiwa majini mzima ..
Mm nadhani siwezi kumla. .anatia kinyaa.
Mnaongelea pweza yupi? Pweza pweza au pweza pweza? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2211][emoji2211][emoji2211]Sure, lakini watu wengine hawakioni
HahahaNitasali uku uku labda tukutane rohoni[emoji18],
Tunaanza na maombi ya rehema kwa ndugu zetu walio pania kesho.
[emoji4][emoji323][emoji171]
Ama zetu, ama zake tunamnyang'anya walio wetu,Hahaha
Kwa kweli maana kesho shetani naye amejipanga kuvuna roho za watu ,aongeze watu upande wake[emoji23]
Vita ni Kali[emoji23]Ama zetu, ama zake tunamnyang'anya walio wetu,
Tunarudisha fahamu zao.. [emoji18]
ππVita ni vizito sana.Vita ni Kali[emoji23]
Ngoja nianze kushika wingu
Dada /Mama kapendeza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]Vita ni vizito sana.
Tuanze na vinasa sauti vyao,wanavyotumia kukamata wateule.
π π π π .[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Kuvuruga anga alikokamata shetani [emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Nyanyua upanga wako tunaenda kuviharibu na kukata mawasiliano.