Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,253
KazuriCha utundu ana pozi za ajabu akijua ana piga picha

Kanajua kupose hatari
Sasa tumuone na mama yake

KazuriCha utundu ana pozi za ajabu akijua ana piga picha


Inaninyanyasa Sana hii App.Jaribu Kuupdate
Uwiiii mpendwa unanitafutia balaaa kwa baba watoto.Kazuri
Kanajua kupose hatari
Sasa tumuone na mama yake![]()
Weka tusafishe machoUwiiii mpendwa unanitafutia balaaa kwa baba watoto.






Nikutumia app nakereka inaacha kama signature, ooh JamiiForums appInaninyanyasa Sana hii App.
Ila sijaiupdate kitambo,,now ngoja nitafute browser tu,nitimize na ile ahadi yako.
Si unaenda setting kuondoa hiyo signature.Nikutumia app nakereka inaacha kama signature, ooh JamiiForums app
Stress za mapenzi zikoje
Anhaaa nilikua naeka yangu inagoma dahSi unaenda setting kuondoa hiyo signature.
Salaam, mzimaMtoto mzuri
Tutaziona hivi karibuniS
Stress za mapenzi zikoje
Haha umejuaje kama kwetu Green cityKwenu, yaan nlimaanisha mji naokupa ni home kwenu, green city.
Inaninyanyasa Sana hii App.
Ila sijaiupdate kitambo,,now ngoja nitafute browser tu,nitimize na ile ahadi yako.




Mie Kwangu wameidisable etiSi unaenda setting kuondoa hiyo signature.
Duh sasa kwanini wanadisable tenaMie Kwangu wameidisable eti

Huyo nyau anafanya tizi gani hiyo
