Nilishamaliza
Kuna kipindi nilihaha...
Bwana wee..wakati wa kuondoka tuliondokea chuo tukaenda kwenye mission kanisani mkoani huko,,ilivyoisha nikarudi mbeya.
Sasa kipindi narudi Dom Bwana we tangu wahamishe stand toka jamatin kwenda nane nane ,nilikuwa sijawahi fika
Kasheshe iliyonipata...nilishukia nane nane,sipajui..
Naambiwa sijui panda ya sabasaba..ukifika utapanda Sasa yanayoenda kwenu.
Tangu kituo kihamie sabasaba Mimi sijawahi kwenda.