Tatizo wanaume mkishagundua mnapendwa mnaanza jeuri.
Unampenda mtu hadi unaanza kupingana na imani,unataka hadi kujaribu kuvunja baadhi ya misimamo uliyojiwekea...
Ah sema Mungu naye ana akili,akihundua unataka kutoka kwenye mstari basi lazima afanye namna aondoe kikwazo kinachotaka kukutoa kwenye line.
MUNGU atatimiza haja ya moyo wako,Muombe bila kuchoka.
Ila kuhusu bluetick huwa sijali kabisa.
Mtu akinibluetick mbona fresh tu,asiponijibu basi miaka na miaka itaenda baadaye nina utaratibu wa kufuta contacts ambazo zinaongeza ujazo kwenye simu yangu.