Kuna kapicha nimekaona yaan hako kapicha kalivyo kazuri una mwambia akiwa anapita avae khanga moko na mivao yao alafu ukiwa iko seblen una weee mama irsh akiitika abeeee njoo Mara nikuagiza tu niletee juic ya tangawiz katika friji.bas akigeuka tu neno tamu mashallah huku na kamti kagomba kiman toka Mombasa unashusia aiseeeee hz Kaz za lawama siend kabisa.Najua ana jijua atoke mbele Western Union inamhusu