Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nilichomshukuru Mungu nilikuta cafe wanapiga hadi ugali na mlenda..yaani nilikuwa nagonga ule ugali kama kichaa.

Na mara nyingi nilikuwa nakula ugali,wali Mara mojamoja.. walikuwa hawapiki vzr
 
Huku mjini ukiagiza ugali hasa cafe za vyuo, sijui unaonekanaje yaan. Me ndo swezagi naagiza tyuuh wala sijari mda wa kujibana sina,

Ila jioni nikiwa kwangu napika chochote hata mlenda hasa ule wa bamia na mboga ya maboga.
Sisi kule walikuwa wanavunga tu mwaka wa kwanza..
Lakini watu wazima tulikuwa tunagonga ugali acha kabisa.. mtu umekaa chuo miaka na miaka,mapindi mazito,umemaliza lectures njaa inauma halafu ukale chips
ulisikia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…