Yaan nikawa nawaza hivi huku mjini wali hauliwi kwa mkono?
Maan sidhan km n ajabu, bas yule muhudumu kila nikienda akiniona tyuuh anachekaa mwenyewe
.
Na nikinunua ugali anasemaje sifanani na kula ugali, huea namtazama tuu, wakati angejua kwetu ugali ndo bandika bandua tena mboga za maporini huko.
mazoea tabu tupu.