Selfika na JF: Snap it. Show it

zamani akati ndio anakua alikua na majibu ya ajabu nilimdunda Mara moja heshima mpaka leo , Rudi bwana mjini Nina zawadi zako
Yaani kuna watu wananichosha huku acha kabisa..

Zawadi zangu nitamuagiza hata mtu kama ikishindikana kuja kuzichukua mwenyewe.

Mm nakumbuka kipindi nakua nilikuwa nagombana na kaka yangu,bahati nzuri nilikuwa natetewa na wazazi,baba alikuwa anamnyuka sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…