linahbaby JF-Expert Member Joined Jul 18, 2020 Posts 1,087 Reaction score 3,084 Jan 3, 2021 #85,401 Pendael24 said: daaha pole sana ndugu yangu, mimi nilijua ni sisi ndio tunaokuwa kwenye wakati mgumu tukienda ukweni kumbe hata nyinyi pia? lakini huyo mwenzako angekupa abc za taratibu zao ili na wewe ujiandae kifikra kuepusha aibu. Click to expand... Bahati mbaya sinaga aibu sijui najiaminiga na nini tu
Pendael24 said: daaha pole sana ndugu yangu, mimi nilijua ni sisi ndio tunaokuwa kwenye wakati mgumu tukienda ukweni kumbe hata nyinyi pia? lakini huyo mwenzako angekupa abc za taratibu zao ili na wewe ujiandae kifikra kuepusha aibu. Click to expand... Bahati mbaya sinaga aibu sijui najiaminiga na nini tu
linahbaby JF-Expert Member Joined Jul 18, 2020 Posts 1,087 Reaction score 3,084 Jan 3, 2021 #85,402 Pendael24 said: powaa wewe je Click to expand... Niko fresh
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 12,105 Reaction score 35,136 Jan 3, 2021 #85,403 linahbaby said: Bahati mbaya sinaga aibu sijui najiaminiga na nini tu Click to expand... na wewe usije kufanyia hivyo mkwe wako
linahbaby said: Bahati mbaya sinaga aibu sijui najiaminiga na nini tu Click to expand... na wewe usije kufanyia hivyo mkwe wako
linahbaby JF-Expert Member Joined Jul 18, 2020 Posts 1,087 Reaction score 3,084 Jan 3, 2021 #85,404 Mimi nina shida na hvo viatu tu jmn kwa mwenye uwelewa anisaidie ni Adidas au NIKE?
linahbaby JF-Expert Member Joined Jul 18, 2020 Posts 1,087 Reaction score 3,084 Jan 3, 2021 #85,405 Pendael24 said: na wewe usije kufanyia hivyo mkwe wako Click to expand... Kuwafanyaje tena
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Jan 3, 2021 #85,406 linahbaby said: Mimi nina shida na hvo viatu tu jmn kwa mwenye uwelewa anisaidie ni Adidas au NIKE?View attachment 1666658 Click to expand... Puma
linahbaby said: Mimi nina shida na hvo viatu tu jmn kwa mwenye uwelewa anisaidie ni Adidas au NIKE?View attachment 1666658 Click to expand... Puma
linahbaby JF-Expert Member Joined Jul 18, 2020 Posts 1,087 Reaction score 3,084 Jan 3, 2021 #85,407 Arien said: Puma Click to expand... Asante
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Jan 3, 2021 #85,408 Pendael24 said: Hapa nimeambulia kyala-Mungu Akupile ilift-akupe lifti Click to expand... akupile -amekupa Gwe akupile-aliyekupa
Pendael24 said: Hapa nimeambulia kyala-Mungu Akupile ilift-akupe lifti Click to expand... akupile -amekupa Gwe akupile-aliyekupa
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 12,105 Reaction score 35,136 Jan 3, 2021 #85,409 linahbaby said: Mimi nina shida na hvo viatu tu jmn kwa mwenye uwelewa anisaidie ni Adidas au NIKE?View attachment 1666658 Click to expand... vimejaa tele wewe tuu ila huyo mpiga picha sijui alikua akitarajia nini
linahbaby said: Mimi nina shida na hvo viatu tu jmn kwa mwenye uwelewa anisaidie ni Adidas au NIKE?View attachment 1666658 Click to expand... vimejaa tele wewe tuu ila huyo mpiga picha sijui alikua akitarajia nini
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 12,105 Reaction score 35,136 Jan 3, 2021 #85,410 linahbaby said: Kuwafanyaje tena Click to expand... kama ulivyofanyiwa wewe
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 12,105 Reaction score 35,136 Jan 3, 2021 #85,411 Saint Anne said: akupile -amekupa Gwe akupile-aliyekupa Click to expand... asante, sijui niombe darasa kwako
Saint Anne said: akupile -amekupa Gwe akupile-aliyekupa Click to expand... asante, sijui niombe darasa kwako
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Jan 3, 2021 #85,412 UDOM
linahbaby JF-Expert Member Joined Jul 18, 2020 Posts 1,087 Reaction score 3,084 Jan 3, 2021 #85,413 Pendael24 said: kama ulivyofanyiwa wewe Click to expand... Hmn kibaya nilicho fanyiwa mbona kila kilicho tokea kinatokea ata kwetu kwa mawifi zetu
Pendael24 said: kama ulivyofanyiwa wewe Click to expand... Hmn kibaya nilicho fanyiwa mbona kila kilicho tokea kinatokea ata kwetu kwa mawifi zetu
geraldincredible JF-Expert Member Joined Mar 26, 2017 Posts 2,035 Reaction score 7,227 Jan 3, 2021 #85,414 Simara said: kya Pa Tukuju Click to expand... hahahahhahah hahaha simara ukamanya kinyaki
Pendaelli JF-Expert Member Joined Feb 13, 2014 Posts 12,105 Reaction score 35,136 Jan 3, 2021 #85,415 Arien said: View attachment 1666664 UDOM Click to expand... Pako freshi kinoma yaani
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Jan 3, 2021 #85,416 Pendael24 said: Pako freshi kinoma yaani Click to expand... Sana tu
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Jan 3, 2021 #85,417 Arien said: View attachment 1666664 UDOM Click to expand... Unafanya nini ng'ong'ona huko?
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Jan 3, 2021 #85,418 Pendael24 said: asante, sijui niombe darasa kwako Click to expand... Unadhani najua Basi Hata Mimi ni mbabaishaji tu.
Pendael24 said: asante, sijui niombe darasa kwako Click to expand... Unadhani najua Basi Hata Mimi ni mbabaishaji tu.
Arien JF-Expert Member Joined Aug 29, 2017 Posts 11,245 Reaction score 11,777 Jan 3, 2021 #85,419 Saint Anne said: Unafanya nini ng'ong'ona huko? Click to expand... Nilikuwa Ben mkapa hospital
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,819 Reaction score 233,249 Jan 3, 2021 #85,420 Jack Palladino said: Nimekupm mchumba! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ukija huko PM nikute picha full
Jack Palladino said: Nimekupm mchumba! Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ukija huko PM nikute picha full