Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Nikikuambia namfahamu utabisha sio?
 
Heeeeh wee hebu kua serious dea lol, mbona ni habari mpyaa hii duuh, ngumu kumeza.
 
Binamu niamin mimi nacho kuambia kama kaweka picha sio yake [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ndo maan ata kuchat anachat hamalizi maneno maan anajua mtamshitukia [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Binamu huyo ni mwanaume, watu tunamjua muda mrefu alishapost hapa yupo maskani anagonga chai,
 
Mzee wanawake wengi tu mbona wanajikuta masela umu na vice versa pia.
Sikatai lakini sasa kama umekutana na watu humu awe jinsia ke au me cha msingi ni mawazo tu, ila ukitaka zaidi kama kukutana ndiyo unakutana na mambo tofauti mara kupewa ukimwi, mara kutapeliwa, mara kudanganywa, mara kuumizwa, mara kukutana na jinsia tofauti so mambo ni vurugu, jambo zuri ni kuchukulia jf kama sehemu ya kukurefresh akili na kujifunza mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…