Jamanii eeeh ngojeni leo niwaambie najua mnajua wengi kuwa
mtu chake ni mwanaume hapana sio mwanaume ni mwanamke
najua hamta niamin ila ukweli ndo uo
kwa we
Chakorii hyo ni mdada tena ni mzuri balaa sijaona wa kumfananisha alaf ajabu ni kwamba hakai Tz .
#habari mpya