Kumbe unajidanganya kwa vinukta shogaa
utaumia kama ndo hivyo maana hivyo vinukta vinaandikwa kwa watu wengi humu.
Sasa wewe jichanganye tu na hivyo vinukta.acha kupoteza muda dada zama piemu huko
Ngoja nikukumbushe kuna kutamani na kupenda.sijui wewe unamaanisha nini.
Ukipata nafasi ya kupeperusha bendera jitahidi kuiwakilisha nchi vizuri sasa na wewe