Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]chizi kabisa wewe ujue.hebu nipe mwongozo basi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea uwahi mapema kesho j3 pale mlangoni, upewe mkopo, hiyo picha iwe ndani ya bahasha ya kakhi,
Unakosaje [emoji383]kizembee, na uchumi uko kiganjan kwako lol.
 
Aaaah wee yachanganye wap wee, now una slay tyuuuh, wengne tunapamban na assignments. Duuuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na Mimi napambana kukamilisha mambo mengi,wanatuzingua Hawa..sioni dalili ya kuondoka haraka.

Hata sisi tulipambama nazo miaka na miaka hadi tunazeekea shule [emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na Mimi napambana kukamilisha mambo mengi,wanatuzingua Hawa..sioni dalili ya kuondoka haraka.

Hata sisi tulipambama nazo miaka na miaka hadi tunazeekea shule [emoji1787]
Daah we acha tyuuuh yaan, bora miaka ikimbie na mie ni graduate wallah.
Ila usjar kuwa mpolee, utakamilisha na utaondoka tyuuuh.
 
Wacha bhana [emoji28][emoji28]kumbe mimi ni pisi kali ee...
Karma Hebu acha mambo ya ajabu mweke nkamu wako picha huko...
Hataki hizi za kina shotiiz amezizoea[emoji12][emoji12]
Unaulizia makofi kituo cha polisi mama?
Pisi kali mpo kibao humu nashangaa eti nkamu anataka picha zetu wenye maumbo yetu kama mitungi ya gesi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…