Selfika na JF: Snap it. Show it

Kaone. Kufikisha miaka 70 kwa kizazi chenu hiki cha mabroila hiki ni bahati sana. Afadhali sisi kidogo tulikulia kwenye vyakula halisi na maisha ya kuhangaisha mwili. Ila nakuombea uje ufikishe miaka 70 na zaidi.

ASANTE [emoji1545]
Hata mimi hivi vikuku sijui ndiyo mnaita zezeta silagi kabisa [emoji13][emoji13]

Amen mdogo wangu nawe nakuombea ufikishe miaka 70 ili utukute huku uzeeni [emoji4][emoji4]
 
Mbona kama umetushindwa hivi wanyaki, tumekosea wapi siye na my Heaven Sent ??[emoji1]
Hivi ni kwa nini humu kuna Wanyaki wengi hivi?

Heaven Sent
Karma
Soulimeti
Mtakatifu Ana
Jael

What is going on nyie Wanyaki? [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Mtumishi mwema. Hii naitia katika fremu kabisa aisee. Sina la kusema isipokuwa tu kusema Amen. I am humbled na ASANTE sana [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona hata wasukuma pia mpo wengi humu
 
kumbe tupo wengi wengi hivo safiii😍
 
@Jael wa huko walikoshindikana, ngumi jiwe. Afu hatupo wengi sana mbona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…