Shikamoo baba SYB.
Unalingana umri na baba yangu..ni leo tu nimetoka kuongea nae sijui tulia nzima wapi ila akaishia kunitajia miaka..inafurahisha ee ehee
Yeye ni 9.9....
ASANTE sana binti yangu mwema. Mungu Aendelee kumbariki mzee wako pia na kumjalia miaka mingi mingine hapa duniani. Endelea kumwangalia na kumjali. Utabarikiwa sana
Kaone. Kufikisha miaka 70 kwa kizazi chenu hiki cha mabroila hiki ni bahati sana. Afadhali sisi kidogo tulikulia kwenye vyakula halisi na maisha ya kuhangaisha mwili. Ila nakuombea uje ufikishe miaka 70 na zaidi.
ASANTE sana binti yangu mwema. Mungu Aendelee kumbariki mzee wako pia na kumjalia miaka mingi mingine hapa duniani. Endelea kumwangalia na kumjali. Utabarikiwa sana