Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,423
Hahahaha, kivipi ?Basi hapo ushaua ndege tisa kwa jiwe moja
Walahi kuna MTU nimemmiss sana
Hahahaha, kivipi ?Basi hapo ushaua ndege tisa kwa jiwe moja
Sema.
Niseme
Ndiyo ndiyoAY??
Mweee nimeshindwa kukiangalia leo! Tatizo wengine siku hizi tushazeeka hatuna hata muda na TV tena eti!Utanipa feedback
Sawa sawaHahahaha, kivipi ?
Walahi kuna MTU nimemmiss sana
Sema "SU"Sema.
Mdogo wangu na soda
hapana hatuna mahusiano zaid ya kwamba yy mnyakyusa mimi mnyakyusa.Ndiyo ndiyo
Nakula vizuri kabisaaa ndugu yangu na hata ile kitu (.....)naifanyaga poa sana bila tatizoLemme go nasty, chakorii hiki kimdomo unaweza kula vizuri kweli??
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆 we msukuma unaakili mbovu sanaaaaaaaTeh!!
Bado ndiyo ila kwa kuwa tayari umenipa kibali cha kuwakilisha chama langu pendwa la CHAPUTA
Kuanzia muda huu tegemea mabadiriko ya kimwili
Kichanga kitapatikana vizuri sana na huo uzee wako
Najua maini bado hayajazeeka na sehemu pendwa ipo vizuri na salama kabisa kwa matumizi ya binadamu
Chakorii bhana
Sent from my SM-G955N using JamiiForums mobile app
Hellooooooooooooooooooooo.....Kuna MTU nimemmiss humu mpk ......hebu njoo unisalimie basi
Wacha bhanaBasi hapo ushaua ndege tisa kwa jiwe moja
Mbona unapata shida hivyo Rafik yangu kipenzi si umwambie kuwa umemmiss jamani lohHahahaha, kivipi ?
Walahi kuna MTU nimemmiss sana
Kweli kabisa?huwa haulalamiki taya zinauma?kwa huo mdomo nikiangalia kipande cha nyama, naona utavunjika tayaNakula vizuri kabisaaa ndugu yangu na hata ile kitu (.....)naifanyaga poa sana bila tatizo


Kweli kabisa ndugu yangu.we ulisikia wapi taya kuuma eti mheshimiwa..🤪Kweli kabisa?huwa haulalamiki taya zinauma?kwa huo mdomo nikiangalia kipande cha nyama, naona utavunjika taya![]()