Selfika na JF: Snap it. Show it

Nina shangazi yangu hatari sana kwenye kupika maharage, huyo nnaweza kula, tatizo nnapenda nyama...mama yupo, i make sure hata mara 5 mpaka 10 kwa mwaka nnakula chakula chake kwakuwa tunaishi mbali ntaenda kwake tarehe 18, na nimemuambia nimemiss samaki perege wadogo wa nyumba ya mungu na ndizi za kukaanga asubuhi kaniambia nisijali, i cant wait to board that train
 
Siku nitajitolea kukupikia huu mchongo, wewe na madogo...utawaambia tuu kuna kijana nimemuajiri atakuja leo kupika
 
Basi inabidi upate na mpishi mwingine mzuri sambamba na Auntie.

Glad to hear mama is still around.

Dah....why did you have to mention perege jamani 😒😒 Ukiacha ndizi za kukaanga....umewahi kula za kupikwa na perege wa kukaagwa wanawekwa juu ya ndizi dakika za mwisho kabla ya kuzi-serve??? Yohhhhh 😯😯 ni moto wa kuotea mbali πŸ˜‹πŸ˜‹ Used to be one of my bibi's speciality πŸ™ƒπŸ™ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…