Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahsante natulia sasa make toka nianze July 26 2020 nimefungua threads Kama kichaa!
Baada yakuona comments zimeshiba nikajua JF Ina wasomi na watu wakubwa nikajiona mdogo hata sitoshi kwenye kisado..
Watu wako very smart Sana

Ka elimu kangu kenyewe form 3 Ila nimejitahidi kufungua critical threads
Wakati mwingine wasomi wakishindwa kujibu wanacomment that's nonsense[emoji23]

Wakati mwingine ukosoaji usio na mafunzo Ila its part of learning
Ila nashukuru kwa kuijua JF labda ntapata na gal friend Humu[emoji23][emoji23]
 
Ahsante natulia sasa make toka nianze July 26 2020 nimefungua threads Kama kichaa!
Baada yakuona comments zimeshiba nikajua JF Ina wasomi na watu wakubwa nikajiona mdogo hata sitoshi kwenye kisado
Wewe nyuzi zako andelea kuzileta tu.ila Habari ya kuweka sauti hiyo piga chini kwanza.

Basi relax.
 
Aisee humu ndani kumbe tunachat na watoto wetu kabisa
 
Ndiyo
Inabidi uwe na heshima,Hata pm uwe mstaarabu na si kuvamia tu bila salamu inayoeleweka ukijua wote watoto wenzio[emoji4]
Ila hata hivyo sio mbaya mimi si unaona kabisa kuna dalili zinaonesha I'm matured licha ya age yangu
Mtoto kiumri Ila kiakili I'm somehow matured[emoji6]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…