Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahsante natulia sasa make toka nianze July 26 2020 nimefungua threads Kama kichaa!
Baada yakuona comments zimeshiba nikajua JF Ina wasomi na watu wakubwa nikajiona mdogo hata sitoshi kwenye kisado..
Watu wako very smart Sana

Ka elimu kangu kenyewe form 3 Ila nimejitahidi kufungua critical threads
Wakati mwingine wasomi wakishindwa kujibu wanacomment that's nonsense


Wakati mwingine ukosoaji usio na mafunzo Ila its part of learning
Ila nashukuru kwa kuijua JF labda ntapata na gal friend Humu
 
Ahsante natulia sasa make toka nianze July 26 2020 nimefungua threads Kama kichaa!
Baada yakuona comments zimeshiba nikajua JF Ina wasomi na watu wakubwa nikajiona mdogo hata sitoshi kwenye kisado
Wewe nyuzi zako andelea kuzileta tu.ila Habari ya kuweka sauti hiyo piga chini kwanza.

Basi relax.
 
Aisee humu ndani kumbe tunachat na watoto wetu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…