Saint Anne nielewe mwenzio nakupenda achana na wale ni masihara tu mi bado ka nafsi kangu kamegota kwako.. Kama ni maji yamefika baharini.. kana ni mgonjwa basi nimefika hospitalini!
Tutete yakwetu hao wengine wanini..?
Usiwe mchoyo wa fadhira mpenzi nionyeshe ujali wako,nikupende mwandani wako..