Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahha ke ukiachwa kwenye mataa inauma sana utawafollow wakina maisha halisi ujiunge group elfu kumi upate ushauri murua
Nani alikwambia mapenzi yanashaurika madam😅😅😅ni mwendo wa kupigwa hela kama kichaa...

Utaumia kwa muda ila ukiamua kudharau hakuna kitu unashindwa fanya...

Unampenda mtu akikuletea miyeyusho unahama unaenda kuota kwa mwingine 😅😅😅
 
You're right kuna jamaa alilipia for a month lakini hamna jipya mule zaidi ya nyie wataka ushauri ndo mtakuwa mnashauriana zaidi .
Hahha eti unaenda kuota kwa mwingine .
 
You're right kuna jamaa alilipia for a month lakini hamna jipya mule zaidi ya nyie wataka ushauri ndo mtakuwa mnashauriana zaidi .
Hahha eti unaenda kuota kwa mwingine .
Wacha weee...kwa hiyo ikala kwake pasee😅😅

Mapenzi ni kama majani aiseeh..
Ukining’oa hapa naenda ota sehemu nyingine.

Napenda ghafla,nakifu ghafla pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…