Hahhaa kwa nini hutaki nikuite mkuu ?
Hamna nyama nimepunguza kweli , wali nakula mara mbili per week sukari pia sio sana na sijapima kilo muda kweli .
Hahhaa kwa nini hutaki nikuite mkuu ?
Hamna nyama nimepunguza kweli , wali nakula mara mbili per week sukari pia sio sana na sijapima kilo muda kweli .
Sasa na wewe unaanzaje kununua nguo kwa bei hiyo hiyo uliyotajiwa kwani haujui kubargain?
Mtu akikutajia elfu 10 unahakikisha inashuka hadi elfu 6 tena hapo umemuonea huruma kuna watu wanajua kubargain jamani hadi unamuonea huruma muuza nguo wa watu!
Sasa na wewe unaanzaje kununua nguo kwa bei hiyo hiyo uliyotajiwa kwani haujui kubargain?
Mtu akikutajia elfu 10 unahakikisha inashuka hadi elfu 6 tena hapo umemuonea huruma kuna watu wanajua kubargain jamani hadi unamuonea huruma muuza nguo wa watu!
Ohooo...ni kweli aise..
๐ ๐ ๐ nguo yoyote itakayochanwa bila sababu ni big no aiseh.
Ila kuna high waist ni nzuri nazipenda..
๐ ๐ kuna ile unakuta mdada kupiga high waist mpka kwenye maziwa huko๐ ๐ ๐ ๐ na mjanja juu๐โ๐๐hapana aiseh