Selfika na JF: Snap it. Show it


Wasukuma walikua wa enzi hizo, sio nyie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi hizo za lini we mwenyewe mtoto mdogo tu? Unajua enzi gani wewe? Miaka 75 hapa unanizungumzia mambo ya enzi? Kama unazungumzia hiki kizazi chenu hiki kinachovaa suruali za kubana zilizotatuka magotini na kuongea kwa kubana pua sawa lakini age yetu hii ni wale orijino kabisa pyua ngosha mwenye kila sifa
 
Wacha bwana!!

Haki nimecheka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…