Selfika na JF: Snap it. Show it


Ukiyaweka tu hayo madude, naenda kulala.

basi siweki, nimeambiwa eti vitu ninavyovipenda mimi ni vile ambavyo vinapendwa na kueleweka sana na wanaume sasa sijui wanataka kusemaje labda.


No wonder wanawake wenzangu nikiwaambia kuhusu masuala ya avengers wananishangaa wanasema eti hizo movie hawazielewi. Haki ya nani mnanifanya nijione nina matatizo.
 
Tena makubwa

Ila hayajazidi ya kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…