basi siweki, nimeambiwa eti vitu ninavyovipenda mimi ni vile ambavyo vinapendwa na kueleweka sana na wanaume sasa sijui wanataka kusemaje labda.
No wonder wanawake wenzangu nikiwaambia kuhusu masuala ya avengers sijui nini wananishangaa wanasema eti hizo movie hawazielewi. Haki ya nani mnanifanya nijione nina matatizo.