MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,456 Reaction score 69,353 Jun 23, 2020 #61,041 Jael said: Why not? Nikichoka natembea nakusubiri urudi kutoka huku km5 ulikopotelea. Click to expand... Unadhania naeanda mbali, nazunguka eneo moja tu, sema nazunguka mara nyingi.
Jael said: Why not? Nikichoka natembea nakusubiri urudi kutoka huku km5 ulikopotelea. Click to expand... Unadhania naeanda mbali, nazunguka eneo moja tu, sema nazunguka mara nyingi.
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Jun 23, 2020 #61,042 Kataskopos said: Unadhania naeanda mbali, nazunguka eneo moja tu, sema nazunguka mara nyingi. Click to expand... Oooh!! Hapo sawa. Kukimbia nakimbia sana tu sema sasa sina kampan, maana kukimbia mwenyewe napo kipaji
Kataskopos said: Unadhania naeanda mbali, nazunguka eneo moja tu, sema nazunguka mara nyingi. Click to expand... Oooh!! Hapo sawa. Kukimbia nakimbia sana tu sema sasa sina kampan, maana kukimbia mwenyewe napo kipaji
T 1990 ELY JF-Expert Member Joined Sep 7, 2014 Posts 12,937 Reaction score 30,099 Jun 23, 2020 #61,043 black hawk87 said: Pole Sana bingwaaa ila huyo nesi hapo hujachukua namba ya simu ukaenda kumla kimasikhara Click to expand... Akhsante sana mkuu Hahaha....nilichukua namba yake. Wacha nipone kwanza japo tayari nilishaonyesha mazingira nyemelezi kwake. Ananisafisha kidonda kila siku
black hawk87 said: Pole Sana bingwaaa ila huyo nesi hapo hujachukua namba ya simu ukaenda kumla kimasikhara Click to expand... Akhsante sana mkuu Hahaha....nilichukua namba yake. Wacha nipone kwanza japo tayari nilishaonyesha mazingira nyemelezi kwake. Ananisafisha kidonda kila siku
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,456 Reaction score 69,353 Jun 23, 2020 #61,044 Jael said: Oooh!! Hapo sawa. Kukimbia nakimbia sana tu sema sasa sina kampan, maana kukimbia mwenyewe napo kipaji Click to expand... Wengi wanatembea tu....
Jael said: Oooh!! Hapo sawa. Kukimbia nakimbia sana tu sema sasa sina kampan, maana kukimbia mwenyewe napo kipaji Click to expand... Wengi wanatembea tu....
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Jun 23, 2020 #61,045 Kataskopos said: Wengi wanatembea tu.... Click to expand... Na raha ya kukimbia pawe na kilima.
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,456 Reaction score 69,353 Jun 23, 2020 #61,046 Jael said: Na raha ya kukimbia pawe na kilima. Click to expand... Hakuna milima huku, sema tu magari ni mengi, kama umeweka earphones masikioni unaweza gongwa kabisa
Jael said: Na raha ya kukimbia pawe na kilima. Click to expand... Hakuna milima huku, sema tu magari ni mengi, kama umeweka earphones masikioni unaweza gongwa kabisa
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Jun 23, 2020 #61,047 Selfie km sizioni hv kulikoni?
black hawk87 JF-Expert Member Joined Jan 25, 2020 Posts 678 Reaction score 1,246 Jun 23, 2020 #61,048 T 1990 ELY said: Akhsante sana mkuu Hahaha....nilichukua namba yake. Wacha nipone kwanza japo tayari nilishaonyesha mazingira nyemelezi kwake. Ananisafisha kidonda kila siku Click to expand... Safi kijana wangu ukiwa una mpiga na za supu kidogo mbona kimasikhara analiwa tu na vidonda anasafishia geto
T 1990 ELY said: Akhsante sana mkuu Hahaha....nilichukua namba yake. Wacha nipone kwanza japo tayari nilishaonyesha mazingira nyemelezi kwake. Ananisafisha kidonda kila siku Click to expand... Safi kijana wangu ukiwa una mpiga na za supu kidogo mbona kimasikhara analiwa tu na vidonda anasafishia geto
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Jun 23, 2020 #61,049 Kataskopos said: Hakuna milima huku, sema tu magari ni mengi, kama umeweka earphones masikioni unaweza gongwa kabisa Click to expand... Na moshi wa magari
Kataskopos said: Hakuna milima huku, sema tu magari ni mengi, kama umeweka earphones masikioni unaweza gongwa kabisa Click to expand... Na moshi wa magari
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Jun 23, 2020 #61,050 mtu chake said: Selfie km sizioni hv kulikoni? Click to expand... Utazionaje na haujaziweka?
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Jun 23, 2020 #61,051 Jael said: Utazionaje na haujaziweka? Click to expand... Hebu weka basi acha story
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Jun 23, 2020 #61,052 mtu chake said: Hebu weka basi acha story Click to expand... Unanilisha?
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Jun 23, 2020 #61,053 Jael said: Unanilisha? Click to expand... Weka selfie basi ,Rafiki
MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,456 Reaction score 69,353 Jun 23, 2020 #61,054 Jael said: Na moshi wa magari Click to expand... Aaaah moshi wa magari hakuna, ila watu wanatembea na vijibwa vyao.
Jael said: Na moshi wa magari Click to expand... Aaaah moshi wa magari hakuna, ila watu wanatembea na vijibwa vyao.
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Jun 23, 2020 #61,055 Kataskopos said: Aaaah moshi wa magari hakuna, ila watu wanatembea na vijibwa vyao. Click to expand... Daaah!! Kwahiyo bongo nako siku hizi twatembea na vijibwa
Kataskopos said: Aaaah moshi wa magari hakuna, ila watu wanatembea na vijibwa vyao. Click to expand... Daaah!! Kwahiyo bongo nako siku hizi twatembea na vijibwa
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 89,493 Reaction score 176,572 Jun 23, 2020 #61,056 mtu chake said: Weka selfie basi ,Rafiki Click to expand... .
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,453 Jun 23, 2020 #61,057 Jael said: .View attachment 1487210 Click to expand... Hahahaha, dah umeshinda,gud nite Rafiki
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Jun 23, 2020 #61,058 Makiseo said: Nimefungua haraka Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Jun 23, 2020 #61,059 Kataskopos said: Aaaah moshi wa magari hakuna, ila watu wanatembea na vijibwa vyao. Click to expand... Kaka nimejikuta natamani kujua mahali unakoishi
Kataskopos said: Aaaah moshi wa magari hakuna, ila watu wanatembea na vijibwa vyao. Click to expand... Kaka nimejikuta natamani kujua mahali unakoishi
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Jun 23, 2020 #61,060 Jael said: .View attachment 1487210 Click to expand...