Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mikopo vicoba inajua kutupeleksha.
Nakuelewa vilivyo mam,
Shemeji yako kanitumia mda huu whatsapp.
Sasa sijui anamaanisha nini
IMG-20200607-WA0002.jpg
 
Halafu kwenye tapatalk kwenye notifications bado inaonyesha ile picha yako enzi za 13megapixel.
Mpaka ukifungua thread ndo inakuja dp uliyoweka sasa
Itabadilika tuu baada ya muda usiwe na presha mama, afterall i changed my name siyo kwa sababu nnajificha, i notified kila mtu kwenye huu uzi kuwa nnabadili jina, to the wolf, tena kwa miaka mitano ijayo
 
Itabadilika tuu baada ya muda usiwe na presha mama, afterall i changed my name siyo kwa sababu nnajificha, i notified kila mtu kwenye huu uzi kuwa nnabadili jina, to the wolf, tena kwa miaka mitano ijayo
Wewe ulikuwa unafahamu hilo?
Nilikuwa nakupa taarifa tu.
Unaweza kuwa ulikuwa hujui.
Na ni njia mojawapo pia ya uongozi wajue mapungufu ya app warekebishe.
 
Back
Top Bottom