Selfika na JF: Snap it. Show it

Kawaida natakiwa kuamka saa Tisa,
hivyo najitahidi saa mbili niwe kitandani lakini usingizi naweza kuupata saa tano mpaka saa sita..
Kati ya vitu hivi kipi kinakusumbua
1. Stress za sasa.
Labda kama kuna jambo linakunyima raha na amani.
2. Uliteswa na tatizo siku zilizopita. Ambalo yawezekana ndilo unatembelea athari zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…