Barakoa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2020
- 769
- 1,387
Hii ndo dawa ya Corona ?
Hii ndo dawa ya Corona ?






kwenye Ni vile tunatumia kule long time nilikuwa katika hyo fieldkwenye Ni vile tunatumia kule long time nilikuwa katika hyo field
kilicho akilini kitumie
KakaMtu unatamani uwe hapo katikati![]()
Mdogo wangu kipenzi.Kaka
Leo ni jumatatu jamani kaka kipenziMdogo wangu kipenzi.
Sijaingiza hata shilingi mdogo wangu kipenzi.Leo ni jumatatu jamani kaka kipenzi
Pole sana jamani kaka yangu kipenzi!! Asa tufanye nini eti jamaniSijaingiza hata shilingi mdogo wangu kipenzi.

Tuongeze siku za kusali ili korona iende, iende tu kwa kweli.Pole sana jamani kaka yangu kipenzi!! Asa tufanye nini eti jamani
Na Kweli kabisaa jamani kaka yangu kipenzi!!Tuongeze siku za kusali ili korona iende, iende tu kwa kweli.
Na Kweli kabisaa jamani kaka yangu kipenzi!!
Ila wewe badala ya kusali meona unatamani kukuwa katikati jamani






Hahahahahah
Na Kweli kabisaa jamani kaka yangu kipenzi!!
Ila wewe badala ya kusali meona unatamani kukuwa katikati jamani

kuwa katikati, haha. Ilà nasali tu kama wengine mdogo wangu kipenzi.Ndiyoo wakikujambia unapona.Hii ndo dawa ya Corona ?
Teh haiwezi kuisha kabisaHahahahahah
Useme corona itaisha jamani
Mmmhhhkuwa katikati, haha. Ilà nasali tu kama wengine mdogo wangu kipenzi.