Dear ip_mob,
Sorry kwa kuingilia ila mimi nina ushauri.
View attachment 1378655
Hii ni picha ambayo wewe umeiweka na umejaribu kufuta vitu vingi hadi imekuwa kama uchafu, badala yake ungeamua kufanya hivi
View attachment 1378657
Yaani upige picha kwa namna ambayo haikulazimu kufuta futa namna hiyo.
View attachment 1378658
Hii nayo unaweza kucrop tuu namna hii ukate vya siri visivotakiwa kuonekana
View attachment 1378659 .
Samahani kwa kuingilia, ni ushauri tuu.