Kesi ya nyani nimepeleka kwa tumbili, sasa shamba limebaki mabua[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hehe muambie kwa mtu anayeyajua majibu yako hilo jibu ni la kawaida sana, naona hajawahi kukutana na yale yenyewe hadi mtu anatamani kulia.
Cha muhimu isiwe yale mazig zag, ila kaway kamoja tu kanapendeza kweli.Teh hata mie naipenda kwa kweli, hizo tamaduni za kiafrika wabaki nazo wenyewe.
Na hiki kichwa ka kitunguu jamani[emoji134][emoji134][emoji134]Na wewe weka utapendeza
Mnanionea sana jamani[emoji134][emoji134][emoji134]Unanichinja huku unaniangalia usoni
Kweliiiiiii jael kweliiiiiiiiii???
Usipate taabu, mimi na Heaven Sent ni wataalam. Njoo tukufundishe.Oohh nilitaka nije nipate darasa la kung fu [emoji16][emoji16]
Mimi na jael hatuna historia ya kukwaruzana ndio maana majibu yake yanahimilika kama deni la serikali yetu linavyohimilika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wale wa manicure & pedicure [emoji3]
Marahabaaaa!! Hujambo?
Njoo mimi nitakuweka vizuuuuri.Me mwenyewe nachukulia kama ni urembo tu; and honestly wanapendeza mnoo. Aiaee ni vile tu nina huu mbichwa mrefu kama basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yan we dada I wish nikiona hicho kichwa ππ ni Mara nyingi sana unakisema.Me mwenyewe nachukulia kama ni urembo tu; and honestly wanapendeza mnoo. Aiaee ni vile tu nina huu mbichwa mrefu kama basi
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππ ila wanatuonea...wao wakiendaga barbershop zile massage za kichwa?!! Mbona sisi tunawavumilia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wale ndio wanaume hawataki hata kuwasikia. Basi tu wanatuvumilia.
Haha ka baba mama kaongo maana hata jina lake eti kalisahau kasababisha nami nikakosea kumtag mwifwa[emoji134][emoji134]
Wanapendeza kweli. Hata mie huweka ya kitana tu.Yan we dada I wish nikiona hicho kichwa [emoji3][emoji3] ni Mara nyingi sana unakisema.
Tuacheni masihara jamani wale wanaoweka "way" uwa wanapendeza mno. Binafsi kwa sasa ni ngumu kuweka ile ya machine ila kwa kitana mitoko ya weekend NAWEKA
Tena zao zinafanyika mafichoni, sie hukaa upenuni kabisa ambapo hapana hata madhara.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wanatuonea...wao wakiendaga barbershop zile massage za kichwa?!! Mbona sisi tunawavumilia
πππ yule atakuwa DiasporaUSAHaha ka baba mama kaongo maana hata jina lake eti kalisahau kasababisha nami nikakosea kumtag mwifwa[emoji134][emoji134]
Ngoja tu watuone wahuni π©π© ila wabongo tunadhana potofu sana.Wanapendeza kweli. Hata mie huweka ya kitana tu.