Mr Attorney
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,536
- 34,669
Wewe ni mtoto wa kike lakini. Some issues hazitarajiwi toka kwako.Just a fashion..... mambo ya uhuni ni tabia binafsi, either una low curt plus way, hijjab, mawigi, unasuka kama una tabia za kihuni hizo ni zako tu.
Ila mimi ya machine hapana kwa sasa hivi thoe huko nyuma nishawahi kuweka. (Mama akanambia marufukusikurudia tena
Low curt esp. Panki ile ya kisabato ikiwa na way inapendeza...nawaonaga wadada wa cutting master
Nywele yangu ikiwa na curl weekend naweka ya kitana (nimezoea...ukiniona muhuni shauri yako
Endelea kukaza
Siku moja husije ukajikuta unamuimbia mwamba haya mashairi.
Alivyoniingia (sikumbuki)
Akanizoea (sikumbuki)
Moyo akanipa na wangu nkautua
Ningefanyaje na we haukua karibu na mimi
Lakini ye ndie alikua ananijali mimi Ntafanyaje na ye yu tayari kuishi mimi Lakini wee ndie tulizo la moyo wangu.....
Mwaka unakaribia kwisha jamani ,unaniangushaAh wapi bado sana.. Huwa sishindwi kitu.. Sijawahi kushindwa
Jr
Mimi nina ka ujuzi kidogo ka kuimba. Naweza nikakupiga msasaUwii naomba Mungu anishikilie hivi hivi hadi huu mwaka uishe nisije ita mtoto wa mtu "my everything" au kumuimbia mashairi ya uongo na kweli kama hayo, kwanza hata sijui kuimba.
Just a fashion..... mambo ya uhuni ni tabia binafsi, either una low curt plus way, hijjab, mawigi, unasuka kama una tabia za kihuni hizo ni zako tu.
Ila mimi ya machine hapana kwa sasa hivi thoe huko nyuma nishawahi kuweka. (Mama akanambia marufukusikurudia tena
Low curt esp. Panki ile ya kisabato ikiwa na way inapendeza...nawaonaga wadada wa cutting master
Nywele yangu ikiwa na curl weekend naweka ya kitana (nimezoea...ukiniona muhuni shauri yako
Uwii naomba Mungu anishikilie hivi hivi hadi huu mwaka uishe nisije ita mtoto wa mtu "my everything" au kumuimbia mashairi ya uongo na kweli kama hayo, kwanza hata sijui kuimba.
Fanya Hivyo Mdogo wangu.Uwii halafu hata jina lake na la saluni yake sijakariri, nimekariri tu sura yake na ile njia ya kuingilia kwenye saluni yake hata yeye amenikariri tu sura ila namba hatukupeana.
By the way ni vile nimenyoa mwaka huu na tangu nimeanza kunyoa nimeenda kwake mara tatu tu, nina mpango wa kuenda tena soon kwahiyo this time nikienda kama utakuwa bado haujanyoa nitakutajia jina lake ni ananyoa vizuri kwa kweli.
Nitakujulisha.. Mnanyoa Style za kike pia?Lini sasa unatia timu ?
Office yetu ipo Survey. Bado mupya mupya
kwani way ina nini eti
Ndio mkuu
Huwa wanakuwa wamepinda kiasi fulaniMimi siipendagi tu..
Naona kama wanaoweka way wanatabia fulani hivi tena za kufanana. Na sizipendi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni yupi hapo Kwani?View attachment 1405055 touch down gotta see what's up.
Giving back to the community is our realest shit. Come n join the movement.
Mwenye jeans ya blue na t-shirt nyeusi.
Halafu unaweza usiamini.. Kitu inaitwa wigi sijawahi weka kichwani mwangu.Sioni shida katika way...binafsi
Makiseo yale mawigi uliyokuwa unavaa zamani hayana way?
Kuna way ya kitana na way ya machine. Sometimes esp. Weekends nawekaga way ya kitana
Mwee hiyo panki ya kisabato ndiyo ikoje? Huyo cutting master nitaenda kwake siku moja maana siyo kwa kusifiwa huko!
Ndio mkuu
Tunanyoa wakina dada na wakina mama tuuuuuu