Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe ni mtoto wa kike lakini. Some issues hazitarajiwi toka kwako.

Dont care attitude inaweza kukugharimu

Try to abide to African traditional practices
 
Uwii naomba Mungu anishikilie hivi hivi hadi huu mwaka uishe nisije ita mtoto wa mtu "my everything" au kumuimbia mashairi ya uongo na kweli kama hayo, kwanza hata sijui kuimba.
 
Mwee hiyo panki ya kisabato ndiyo ikoje? Huyo cutting master nitaenda kwake siku moja maana siyo kwa kusifiwa huko!
 
Fanya Hivyo Mdogo wangu.
BTW mimi nina Low Cut kwa Sasa.. Tangu mwaka uanze.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sioni shida katika way...binafsi
Makiseo yale mawigi uliyokuwa unavaa zamani hayana way?
Kuna way ya kitana na way ya machine. Sometimes esp. Weekends nawekaga way ya kitana
Halafu unaweza usiamini.. Kitu inaitwa wigi sijawahi weka kichwani mwangu.
Kuweka way binafsi sipendi.. ila mtu akiweka naona ni sawa tu.. maana ni Mapenzi yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ndiyo Kinyozi wangu ila naona wa kawaida tu..Kwanza staili zake ni hizo hizo.. Kinachomsaidia anajipa Promo sana
Kuna Mmoja huyo nimemuona Ista.. nataka this time niende.
Mwee hiyo panki ya kisabato ndiyo ikoje? Huyo cutting master nitaenda kwake siku moja maana siyo kwa kusifiwa huko!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…