Selfika na JF: Snap it. Show it

Niliomba mimi jana ipostiwe upya nikaishia kuambiwa tu "pole" ila nimeona kuna mtu kaomba leo imepostiwa upya,, tatizo nyota..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo pole maana ulijidai uko busy kugongelea nyundo kule ,halafu kumbe tunakuacha na gari stendi


Basi Mimi nafurahije jamani

Halafu Mimi ninazo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Khaa si unaenjoy upepo,, sasa kwa mfano na hili joto la Dar sisi tulio karibu na bahari ndiyo angalau tunaenjoy kaupepo joto linapungua kuliko wale wanaoishi kule kama unatoka nje ya mji..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio matatizo ya kuishi dar.

Kipindi Cha baridi huku milimani full upepo .kwanza huwa hakuna joto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ah kumbe unazo sasa kinachotufanya tunaendelea kupigishana kelele hapa kuharibu uzi wa watu ni kitu gani,, hebu twende kule ukanifanyie mpango..
Ndiyo pole maana ulijidai uko busy kugongelea nyundo kule ,halafu kumbe tunakuacha na gari stendi


Basi Mimi nafurahije jamani

Halafu Mimi ninazo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ah mie napenda vyote bahari na milima ila nikiambiwa nichague kimoja basi bahari ndiyo cha kwanza,, I love oceans.. I am Moana


Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nachagua mlimani.
Tena kuwe porini kabisa hakuna watu wengi..
Upepo nitaupata milimani hukohuko.
Bahari ya Nini kwangu hata kuoga mtoni sijawahi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kati ya watu walioshikilia bango na mimi unaweza ukaniweka kweli jamani,, hapo umenionea kwa kweli.. numbisa na carbamazepine ndiyo walishikilia bango

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani pale namtoa bradha tu..
Nyie wengine wote hakuna aliyenitetea

Sasa tunatesa kwa zamu..najua picha ya Paula imekupita


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…